25.05.2022Tanzania, Dar Es Salaam

Tunafunga SubMeter

TZS 25 000

Condition:

NEW

Description

Kama umepanga nyumba au chumba ,au wewe ni mwenye nyimba unahitaji kuwafungia wapangaji wako, na unataka kuepuka na kero za kulipa umeme mara kwa mara bila kujua matumizi yako, na gharama inakuwa kubwa, sisi tupo kwa ajiri yako kwa kukufungia hizi SubMeter. Tunafunga SubMeter kwa kusoma matumizi ya units za umeme hasa kwenye vyumba vya wapangaji, ili kuepuka usumbufu wa kununua umeme ambao hujautumia, inakubidi ulipe kulingana na matumizi yako yatakayosoma kwenye mita yako pekeyako. Karibuni

January A.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam