20.08.2020Tanzania, Dar Es Salaam

MONEY COUNTER MACHINE

TZS 390 000

Condition:

NEW

Description

?MONEY COUNTER MACHINE / MASHINE YA KUHESABIA HELA . . ?Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services. . ?Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa . ?Mawakala wa Mpesa, Tigopesa etc hii sio ya kukosa kwenye ofisi zenu. . ?Hii itakusaidia kugundua noti feki, hela zilizochanika na ambazo zipo katika hali mbaya . ?Ni rahisi sana kuitumia, na itaifanya ofisi/biashara yako iwe ya kisasa zaidi na utendaji kazi utakuwa wa ufanisi zaidi. . . . BEI: 390,000/= . . DM/CALL/SMS/WHATSAPP . . Ofisi zetu zipo makumbusho bus stand . . Karibuni @skmquality @skmquality_ kujipatia kujipatia bidhaa zenye ubora kwa bei nafuu sana

SimonKaboja

Member since 2017.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam