Details
Description
Acha Kuhesabu Pesa Kwa Mkono!!. Huwa nakuja sana ofisini kwako nakuta watu wanakusubiri uhesabu pesa ndio uwahudumie kiufupi huwa tunamind sana ni vile tu unahuduma bora (tutafanyaje sasa đ) Anyway sipo hapa kukusema ila nakupa mchongo usiendelee kutuweka kwenye foleni âŹď¸ Kutoka @dommyelectrotz ipo bill counter inayokuja kukuondolea foleni ofisini kwako na angalia namna itakufaidisha zaidi âĄď¸ âď¸ Kwanza utaongeza weledi, kasi lakini pia umakini katika kuhesabu pesa zako ama kuweka hesabu