Description
shamba la eka 20 linauzwa shamba hili lipo hapa Kijiji Cha masuguru kata ya kiwangwa wilaya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili lipo kilometa 4 kutoka barabara kuu ya msata bagamoyo shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa laki 6 shamba hili linauzwa lote milioni 12 kwamaelezo zaidi nicheki WhatsApp 0656878067 0768718769