Description
Jipatie simu mpya (full box), aina ya Samsung Galaxy A03core, ikiwa na storage ya 32GB, RAM 2GB, pamoja na Battery yenye ukubwa wa 5000mAh, kwa bei ndogo kuliko smartphone zote za Samsung nchini Tanzania, kwa bei ya Tsh 250,000 tu utapatiwa Cover pamoja protector bure kabisa, wasiliana nasi kwa simu namba 0754621665