Description
Africa black soap ni kiboko kabisa ????hii ni nzuri kwa ngozi na nywele. Inaitwa magic soap kwa ajili ya maajabu yake ? Faida za Africa black soap ✔Inaondoa mafuta usoni kwa wenye ngozi ya mafuta na chunusi ✔Inaondoa madoa kwenye ngozi hasa yaliyotokana na chunusi ✔Kung'arisha ngozi na kuweka unyevu ✔Inatoa harufu mbaya ya kwapa ✔Inasaidia kufifisha michirizi ✔Imatumika kama makeup removal ✔Inatibu pumu ya ngozi Sabuni hii utaipata only for 10,000 ni nzuri sana inapovu na haiishi haraka