01.12.2021Tanzania

NNAUZA VITS

TZS 4 750 000

Description

nnauza VITS no B ila nikama no D gari IPO dodoma mjini full ac full vibari matairi mapya ilipauka na jua ikapigwa mkono mmoja kwa usafi Sana gari inatumiwa na. Sister kanisani. Njoo uokote engini kavuuu Haina likeji Wala haija guswa BIMA mpaka mwakani...njoo kwenye gari

Khalidi A.

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location