22.06.2022Njombe

Shamba linauzwa

TZS 13 500 000

Description

shamba linauzwa maelezo: Liko maeneo ya Lutukila,madaba ( km 1 kutoka barabara ya songea-njombe) ukubwa wa shamba eka 100 mazao yaliyopo,korosho eka 20,mitiki eka 5, parachichi eka 3,Kuna bonde la eka 6 la kulima mpunga,Banda la nguruwe,banda la mbuzi. MAJENGO: godown kubwa (kubeba si chini ya tan 300 ) nyumba ya mashine na nyumba ya wafanyakazi( wiring imefanywa ya umeme na application tayari) pia Kuna trekta jipya kabisa Bei kwa vyote ni tsh 135000000/= kwa mawasiliano zaidi 0711605570

INNOCENT G.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Njombe