25.03.2024Pwani

Shamba la eka 500 linauzwa

TZS 200 000 000

Description

shamba la eka 500 linauzwa shamba hili lipo Kijiji cha masuguru kata ya kiwangwa wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa laki 4 shamba hili limepakana na eneo lachuo la eka 1564 chuo Cha tumaini shamba hili linauzwa lote milioni 200 kwamawasiliano Zaid piga simu namba 0656878067

Mashaka

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani