Description
shamba la eka 500 linauzwa shamba hili lipo Kijiji cha masuguru kata ya kiwangwa wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa laki 4 shamba hili limepakana na eneo lachuo la eka 1564 chuo Cha tumaini shamba hili linauzwa lote milioni 200 kwamawasiliano Zaid piga simu namba 0656878067