Description
shamba la eka 500 linauzwa shamba hili lipo Kijiji cha kwamduma halimashali ya chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa laki 1 shamba lipo kilometa 30 kutoka barabara yalami kabisa iyendayo mkata chalnze unapitia haoa mbwewe nishamba zuli sana kwakilimo tufuga kwasababu nishamba kubwa mauziano ya shamba hili yanafanyika ofisi yamtendaji wakijiji Cha kwamduma utapata documents zote zinauzwa binafsi sio la serikal kwamawasiliano zaidi piga 0656878067