13.03.2024Pwani

Shamba la eka 20 Linauzwa kiwa

TZS 12 000 000

Description

shamba la eka 20 Linauzwa masuguru kata ya kiwangwa wilaya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili lipo kilometa 3 au 4 kutoka barabara kuu yakuelekea msata bagamoyo shamba hili Linauzwa kila eka moja inauzwa laki 6 shamba hili Linauzwa lote milioni 12 kwamaelezo zaidi nicheki WhatsApp number 0656878067 au piga 0768718769

Mashaka

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani