Description
shamba la eka 20 Linauzwa masuguru kata ya kiwangwa wilaya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili lipo kilometa 3 au 4 kutoka barabara kuu yakuelekea msata bagamoyo shamba hili Linauzwa kila eka moja inauzwa laki 6 shamba hili Linauzwa lote milioni 12 kwamaelezo zaidi nicheki WhatsApp number 0656878067 au piga 0768718769