25.09.2023Pwani

Shamba la eka 100 linauzwa kiw

TZS 100 000 000

Description

shamba la eka 100 linauzwa shamba hili lipo wame mkoko kijiji cha mwetemo kata ya kiwangwa wilaya ya bagamoyo mkoa wapwani shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa milioni 1 shamba hili limegusa mto wame kwenye maji yanayo tililika shamba hili linauzwa lote milioni 100 lipo kilometa 14 kutoka barabara yalami kabisa iyendayo msata bagamoyo kwamawasilino zaid piga 0656878067

Mashaka

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani