04.04.2022Tanzania, Dar Es Salaam

ELECTRIC FENCE INSTALLATION

TZS 22 000

Condition:

NEW

Description

ELECTRIC FENCE SERVICE. Meter 1=22,000/=Tsh mfano eneo ni meter 100 *22,000/=1.2M Bei ni jumishi vifaa pamoja na ufundi Tunatoa huduma za electric fence kwa ubora na kwa gharama nafuu sana. Electric Fence ni uzio unaofungwa umeme ambao utakuwezesha kuimarisha ulinzi na usalama wa nyumbani. Fence hii ya umeme inaunganisha na mashine ambayo hutoa umeme utakao kuwa unazunguka hivyo kuweza kumpiga shoti muhalifu yeyote yule atakayetaka kuruka ukuta wako kipindi amegusa hapo. Huduma hii pia inakuja na king’ora ambacho kinafungwa katika mzunguko mzima hivyo kipindi mtu huyo amegusa tu fence basi atapigwa shoti huku king’ora kikilia kwa nguvu kuashiria kuwa kuna tatizo. ??????? ?? ???? ??????? ??????????? ???? ??????????: ◉ ??????????/??????? ???? ◉ ?????? ◉ ????????? ◉ ????? ????? ◉ ?????? ◉ ????????? ◉ ?????? ??????? ◉ ?????

Sabas K.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam