Description
Chumba na sebule toangoma, Bei ni sh 50,000 kwa mwezi. chumba kipo barabaran karibu kabisa na stand ya stanley. Nyumba wapangaji wawili tu na kila mtu na choo chake, mwenye nyumba hakai hapo Mawasiliano Piga/whatsapp no 0716597929 NB: Hakuna hela ya dalali