17.05.2022Tanzania, Dar Es Salaam

Bata Bukini

TZS 150 000

Condition:

NEW

Description

Mabata bukini ni ndege wakubwa wa maji wa familia ya Anatidae. Wanaainishwa katika nusufamilia Anserinae pamoja na mabata-maji. Mabata bukini ni ndege wakubwa sana lakini wadogo kuliko mabata-maji. Wana domo pana pia lakini shingo yao ni fupi zaidi. Wana rangi mbalimbali kama kahawia, nyeupe na nyeusi kadiri ya spishi. Hula mimea na pengine wadudu na nyungunyungu. Wanaweza kuwa wasumbufu wakiingia mashamba. Tago lao limejengwa kwa vijiti, manyasi n.k. karibu na maji na limetandikika na manyoya mororo.

Ayoub H. M.

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam