Description
shamba linauzwa lipo kibaha misugusugu unaingia njia ya viwandani umbali kutoka barabara ya morogoro ni km 6 lipo karibu na shule ya secondary ya waamuzi,shamba lina miembe ya kisasa 28 ambayo imeanza kuzaa mwaka jana, kuna michungwa saba, miparachichi mitano na lina kisima cha kuchimba cha kienyeji kinacho patikana maji misimu yote ya mwaka, barabara inafika mpaka shambani, ukubwa ni ekari moja (70x70) na eneo lipo kwenye makazi ya watu kifupi linafaa kwa matumizi ya viwanja. no 0715127128