29.02.2024Pwani

Shamba la eka 200 miono

TZS 40 000 000

Description

shamba la eka 200 linauzwa shamba hili lipo hapa Kijiji Cha miono kata ya miono halimashali ya chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa laki 2 pia shamba hili linakatwa kuanzia eka 100 kwamawasiliano zaidi piga simu namba 0656878067

Mashaka

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani