01.02.2022Tanzania

Chakula (BIRIANI KUKU)

TZS 7 000

Description

Tunapika Chakula Aina Birian ya kuku Kila Ijumaa unaletewa mpka ulipo kwa Gharama za Mteja ..Tunapokea order kwaanzia Alhamis tunafunga order saa 3 Asubuhi Ijumaa Birian ina contain Kuku Robo wali wa mchele wa Basmat yai moja Salad pamoja na Pilipili na Pilipili ya carrot (Sambaro) Kuwahi kupata chakula chako kwa wakat Karibuni

Tangabiriani

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location