CategoriesJobsOther Jobs

21.05.2022Tanzania, Other Location

ONLINE NETWORK MARKETING INVESTMENT

Negotiable

Details

Contact Method
other
Business/Employer name
TWITTER FOLLOW
Application deadline
2022-06-30
Job level
no-experience

Description

Hello, naitwa Peter Mukhandi, naishi kigamboni ni Agent pia ni muwekezaji wa platform ya online network marketing inayoitwa Twitter Follow. Twitter Follow ni platform ya wamarekani ambayo unalipwa commission kwa kuangalia matangazo ya biashara kutoka companies mbali mbali pia inaunganisha watumiaji wa Twitter na kufanya followers na viewers kua wengi katika pages mbalimbali za makampuni duniani, kulingana na teknolojia uhitaji wa followers na viewers umekua mkubwa ili ku-boost biashara. Ili kukidhi ushindani wa biashara Twitter Follow wanalipwa kutangaza biashara hizo na pages za kampuni mbalimbali ili zipate followers, viewers na kuonekana na watu wengi. Sasa TWITTER FOLLOW wanalipa commission kwa watu watakao kua wanaangalia matangazo hayo. Huitaji account ya Twitter kufanya kazi hii, Twitter follow yenyewe itakupeleka moja kwa moja kwenye pages husika. Kufungua account ni bure kabisa na utapata bonus ya dola 45 kwa account mpya, pia kazi utakazo fanya zitakupa kipato Cha dola1 mpaka dola 50 kila siku katika level ya awali inayoitwa VIP0 mpaka level zingine. Katika level za juu utahitajika kuwekeza mtaji na utaongezewa kazi za kufanya pia utaweza kutoa malipo yako muda wowote utakao hitaji. Mfumo wa kimataifa wa BINANCE unaopatikana play store ndio unaotumika kutoa pesa na kuwekeza pesa yako Twitter Follow. Nahitaji watu wanaotaka kubadilisha maisha yao na kutumia simu au internet Kama nyenzo ya kuingiza kipato halali. Nataka tukutane vijana kwa pamoja tufahamiane na niwaelekeze fursa hii, pia mjionee wenyewe kile ambacho nafanya na kipato ninacho ingiza. Pia tuelekezane namna ya kutumia BINANCE na kuunganisha na Twitter Follow account ili uweze kutoa pesa zako. Hapo chini nitaweka mchanganuo wa malipo ambayo mtu atapata kila siku kwa dola na uwekezaji utakao wekeza. VIP0 Free unalipwa commission ya dola 1 kila siku sawa na Tsh 2,366. Kuna offer VIP1 unawekeza dola 103 sawa na 244,000 na unalipwa kila siku dola 3.6 sawa na Tsh 8500, kwa mwezi Tsh 255,000. Utalipwa kwa miezi 4. Mtaji 244,000 Malipo 255,000+4=1,020,000. VIP2 unawekeza dola 348 sawa na Tsh 824,000 na unalipwa kila siku dola 10.4 sawa na Tsh 24611, kwa mwezi Tsh 738,000. Utalipwa kwa miezi 4. Mtaji 824,000 Malipo 738,000×4= 2,952,000 VIP3 unawekeza dola 648 sawa na Tsh 1,533,000 na unalipwa kila siku dola 22.8 sawa na Tsh 53,900, kwa mwezi Tsh 1,617,000. Utalipwa kwa miezi 4. Mtaji 1,533,000 Malipo 1,617,000×4= 6,468,000 Level za VIP zikipanda, unaongezewa kazi za kufanya na commission zinapanda. Kumbuka ukiwekeza mara moja tu unalipwa kila siku kwa miezi 4. Pesa yako unaweza kuitoa muda wowote unaotaka. Kazi unafanya kwa muda usio zidi dakika 5. Pia Kuna bonus nyingi tu utapata ambazo ni tofauti na malipo hivyo unaweza kukuta unapata pesa zaidi ya hizo nilizoandika. Mimi ndio nitakua mdhamini wako katika kampuni na nitakusimamia ndani ya mwezi mmoja urudishe mtaji wako na uendelee kula faida. Ofisi ni nyumbani kwangu kigamboni. Kama unahitaji kufahamu zaidi na unataka tukutane ili ujifunze fursa hii. Tafadhari naomba unitafute, Asante.

Peter G.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Categories

Location

Other Location