CategoriesJobsOther Jobs

10.06.2021Tanzania, Dar Es Salaam

ELECTRICAL FENCE INSTALLATION

Negotiable

Description

OFFER (22,000/= kwa mita moja) ?ELECTRIC FENCE (UZIO WA UMEME) . ?kwa huduma nzuri za kuwekewa ELECTRIC FENCE kwenye eneo lako, @skmquality @skmquality_ ndiyo tutakaokufanikishia hii huduma. . ?Fence hizi ni salama kwa matumizi yako na familia yako, lakini pia ni bora sana kwenye kuimarisha ulinzi wa eneo lako . ? Gharama ya fence hii ni Tsh. 22,000/= tu kwa mita moja, ambapo itajumlisha gharama ya vifaa na ufundi . ?Imarisha ulinzi na usalama wa eneo lako kwa kuweka electric fence, pia unaweza ukaweka na CCTV cameras ili kudhibiti kabisa uhalifu wa aina yoyote ile. . ?Karibuni @skmquality @skmquality_ Ofisi zetu zipo Kinondoni studio Bus stop.

SKM QUALITY

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Categories

Location

Dar Es Salaam