Description
ELECTRIC FENCE . kwa huduma nzuri za kuwekewa ELECTRIC FENCE kwenye eneo lako, @skmquality @skmquality_ ndiyo tutakaokufanikishia hii huduma. Fence hizi ni salama kwa matumizi yako na familia yako, lakini pia ni bora sana kwenye kuimarisha ulinzi wa eneo lako Gharama ya fence hii ni Tsh. 25,000/= tu kwa mita moja, ambapo itajumlisha gharama ya vifaa na ufundi Imarisha ulinzi na usalama wa eneo lako kwa kuweka electric fence, pia unaweza ukaweka na CCTV cameras ili kudhibiti kabisa uhalifu wa aina yoyote ile. Karibuni @skmquality @skmquality_ Ofisi zetu zipo makumbusho bus stop na Morocco Bus stop