16.05.2022Tanzania, Dar Es Salaam

SIKAF: HUDUMA YA MIWANI, VIPIMO NA MATIBABU YA MACHO

TZS 10 000

Condition:

NEW

Description

SIKAF EYE CARE CLINIC ni kliniki ya kisasa ya afya ya macho inayotoa huduma zifuatazo:- 1.Vipimo vya macho 2.Matibabu ya macho 3.Tunauza miwani za kusomea, kuvaa juani, kuvaa usiku, kuogelea, kuchomelea n.k 4.Tunabadilisha frame za miwani na kukupatia uitakayo. 5.Tunabadilisha lense Kwa gharama nafuu ndani ya muda mfupi 6.Tunakupatia huduma ya macho ya bandia. 7.Tunakupatia ushauri wa afya ya macho Bure. 8.Tunapokea mialiko ya makampuni, taasisi na vituo vya huruma Kwa ajili ya kutoa huduma Kwa gharama punguzo. KUMBUKA: TUNAPATIKANA KARIAKOO, GEREZANI JIRANI NA MATAA YA KAMATA HATUA CHACHE KUELEKEA KWENYE LANGO LA KUKATIA TIKETI ZA TRENI GEREZANI. UKIFIKA ULIZIA SIKAF EYE CARE! KARIBUNI SANA

Lumuli M.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam