24.04.2022Tanzania, Dar Es Salaam

mizani

TZS 350 000

Condition:

NEW

Description

Inapima mpaka 0-500kg Ina sehemu ya screen inayoonyesha uzito bei na jumla ya bei kulingana na uzito. Ni mizani nzuri inayochajiwa KWA umeme na kutunza chaji KWA muda mrefu baada ya kujaa battery na kutoa katika umeme. Ni nzuri KWA godown na kukusanyia mazao/nafaka/vitu mbalimbali.

Kivuyo

Member since 2019.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam