16.11.2020Tanzania, Dar Es Salaam

Nyumba ya kisasa inauzwa.

TZS 70 000 000

Description

Nyumba inauzwa ipo mkuranga Nyumba ya vyumba 6 na sebure jiko master2 sitting room dining room kitchen stoo toilet parking umeme bado, maji yapo Nyumba uwanja mkubwa Haipo mbali na Barbara ya lami km 2 kufika katika Nyumba ilipo, Nyumba bei yake million 70

Chriss Real Estate Agency

Member since 2015.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam