13.02.2020Tanzania, Dar Es Salaam

Nyumba ya Ghorofa Inauzwa Upanga

TZS 1 300 000 000

Description

nyumba ina muonekano wa kuvutia wa ndani na nje ikiwa na vyumba vinne vinavyojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote. Kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 1000…. Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora! wahi nyumba hii sasa.

Kitomai Kayinga

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam