Description
Nyumba ipo mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko Nyumba ni mzuuri sana,na ipo kwenye mtaa mzuri mnoo,pia ipo jerani na barabara kuu ya Iami Bei yake ni shilingi milioni 38 Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu