Details
Description
Hili ni eneo zuri la Kibiashara. YARD yenye ukubwa wa SQM. 2,300, Ndani ya Fensi na yenye Huduma ya Maji Safi na Umeme Mkubwa umeinganishwa. Umiliki ni HATI ( Title Deed) ya Wizara. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________dKj Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali