Details
Description
Forodhani smart city ni mradi mpya wa viwanja uliopo kisemvule njoo sasa tukupatie kiwanja chenye mandhari nzuri kwa Bei nafuu kuanzia shilingi milioni moja na laki tatu ty (1,300,000/=) Sifa za viwanja Viwanja vimepimwa Vipi tambarare Viwanja vyetu vinatambulika na serikali viwanja vimepangiliwa na mipango miji Lakini poa kampuni yetu imeturahisishia ili Kila mmoja aweze kumiliki kiwanja sasa basi imekuja na namna rahisi Sana ya malipo unaweza kulipa kwa awamu kidogo kidogo