20.01.2022Tanzania

Viwanja Vyenye Hati Miliki

TZS 6 500 000

Description

Karibu property investors company ltd Kwa mahitaji ya viwanja na mashamba vilivyopo nchini Tanzania kwa maeneo mbali mbali Miradi yetu inapatikana Dodoma,pwani,Dar es salaam,kibaha,bagamoyo,mwanza,madale na kigamboni. Huduma zote za kijamii zinapatikana. Barabara ni tambalale na rafiki wa hali ya hewa kwa mda wote Viwanja vyetu vinaanzia sqm 400 mpka sqm 4000. Kwenda site ni mda na siku yeyote pia hakuna gharama yeyote atakayotozwa mteja. Ofisi zetu zipo nyuma ya jengo la ubungo plaza. Kwa mawasilano zaidi: 0656033719/0684149324.

Yassiry M.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location