Details
Description
📌Ni Viwanja Vizuri vinavyofaa Kwa Makazi 📌Vipo karibu na shule ya msingi Misugusugu. 📌Viwanja vipo km 2 toka morogoro road Bei: 📌Cash Tzs 8,500 kwa sqm na Kwa Installment ni 9,500 kwa sqm 📌Viwanja vinaanzia milioni 2.5 📌Huduma za kijamii zimeshafika na Barabara inapitika Kwa kipindi chote. 📌Malipo Kwa awamu ni hadi miezi 6. 📌Site tunaenda kila siku hakuna charge. 📌Vipo vya ukubwa mbali mbali kuanzia SQM 278(18 Kwa 16) Hadi SQM (34 Kwa 21) 📌Unaweza fika ofisi zetu zilizopo nyuma ya Ub