Details
Description
jipatie viwanja vilivyo pimwa Makurunge bagamoyo 💥viwanja vipo km 2 kutoka barabara kuu ya lami 💥viwanja vipo kalibia na njia panda ya hifadhi ya saadani 💥viwanja vimepimwa , hati miliki unapatiwa bure 💥viwanja vinaanzia ukubwa wa square meter 500 💥bei kwa square meter 1 ni 5500 💥viwanja vipo kalibia na kiwanda cha sukari cha Bakhresa 💥Huduma zote zimefika 💥malipo utalipia kwa mwezi kwa miezi 12 💥ukilipia cash punguzo asilimia 10% 💥Kila jumamosi ni siku za kuona viwanja