12.07.2023Pwani

Viwanja Maili moja Kibaha

TZS 7 500 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
Yes
Square units
505 m2

Description

Vinauzwa na Property Investors Company (PIC) vipo kwenye offer ya Sabasaba,vikiwa na sifa zifuatazo: ⚫Viwanja vipo umbali wa km4 toka Morogoro road ⚫Pia vipo km1.5 toka Barabara ya rami inayounganisha Kibaha na Bagamoyo ⚫ Viwanja vipo karibu na machinjio ya nyama ya Kibaha ⚫Barabara ni nzuri inapitika,na umeme umeshafika site ⚫Kwa Viwanja vilivyobaki Bei Vinaanzia million 7.8 ⚫Malipo ni cash na Kwa awamu,na Kwa kipindi hichi cha Sabasaba unapata offer ya kulipia Kwa awamu Kwa Bei Ile Ile ya cash

Property I. C.

Member since 2017.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani