Details
Description
miliki kiwanja bagamoyo kiromo chenye ukubwa wa square meter 500 kwa kulipia malipo kidogo kidogo kila mwezi kwa miezi 15 š„viwanja vipo km 3 kutoka main road š„Viwanja vimepimwa ,vina mawe ya wizara š„hati miliki ya wizara unapatiwa bure š„viwanja vipo na huduma zote za kijamii kama maji ,umeme, shule , barabara na hopitali š„malipo unaweza fanya kila mwezi ya kiazi cha 266000 Tsh š„Ukilipia cash unapata punguzo la 10% š„ukitanguliza 30% punguzo 5% karibu uwekeze bagamoyo