Details
Description
⚫Bei yetu ni 25,000 kwa kila square meter moja. ⚫Viwanja vipo umbali wa Kilometre moja kutoka beach zilipo ⚫Umbali kutoka lami ilipo Hadi kwenye viwanja ni Kilometres 4 ⚫Viwanja hivi vimepimwa na utapata hati ⚫Viwanja vipo umbali wa Kilometre 1 hadi Mchango wa pesa beach ⚫Ni Viwanja vinavyofaa kwa makazi na biashara ⚫Site tunatembelea kila siku ⚫Unaweza lipa cash au kwa awamu ⚫Tuna miradi mingine ya viwanja maeneo ya Pangani Kibaha, Misugusugu Kibaha, Vikawe, Kisota Kigamboni, Cheka Kigamboni.