Details
Description
Shamba lipo Kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe mkoani njombe Lina ukubwa wa eka 100 Bei ya kila eka ni tsh 150000 ( laki moja na Elfu hamsini tu) maji ya mto yapo karibu linafaa kwa kilimo cha parachichi, miti ya mbao na mazao mengine kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929