15.07.2022Njombe

Shamba LINAUZWA

TZS 150 000

Details

Terms
Yearly in advance
Price per square unit
No
Square units
100 acreas

Description

Shamba lipo Kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe mkoani njombe Lina ukubwa wa eka 100 Bei ya kila eka ni tsh 150000 ( laki moja na Elfu hamsini tu) maji ya mto yapo karibu linafaa kwa kilimo cha parachichi, miti ya mbao na mazao mengine kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929

INNOCENT G.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Njombe