Details
Description
eneo linauzwa lipo kiwangwa chalinze linaukubwa wa heka 2 linafa kulima mazao ya aina yoyote lipo kijiji cha mwetemo bei sh 1300000 kwa heka moja lipo barabarani kabisa ka.ma unavyoona umbali ukiacha lami kilometa mbili mawasiliano 0714121506 kalibuni sana