Details
Description
Eneo la shamba (msitu) lenye ukubwa wa Ekari 50 linauzwa. Liko Halmashauri ya Mtama, mkoa wa Lindi. Umbali kutoka Barabara kuu ya lami ni Km 7 Liko ndani ya "Special Cashewnut (Korosho) Zone" iliyotengwa na mkoa kwa ajili ya kilimo cha korosho. Kuna kama ekari 1000 za wawekezaji tofauti ambazo zimeoteshwa korosho na baadhi wameshaanza kuvuna.