07.04.2022Tanzania, Lindi

Shamba linauzwa- Kiwalala Lindi

TZS 15 000 000

Details

Price per square unit
no

Description

Eneo la shamba (msitu) lenye ukubwa wa Ekari 50 linauzwa. Liko Halmashauri ya Mtama, mkoa wa Lindi. Umbali kutoka Barabara kuu ya lami ni Km 7 Liko ndani ya "Special Cashewnut (Korosho) Zone" iliyotengwa na mkoa kwa ajili ya kilimo cha korosho. Kuna kama ekari 1000 za wawekezaji tofauti ambazo zimeoteshwa korosho na baadhi wameshaanza kuvuna.

Amour

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Lindi