25.03.2023Dar es Salaam

Shamba linauzwa kibaha

TZS 55 000 000

Description

Farmhouse for sale Loction kihaga Mwanarugali kilomita 4 toka Morogoro road shamba lina sifa zote ukubwa amt 8000(Acre 2) Migomba zaidi ya 400 miembe 6 mabanda ya kufuga kuku zaidi ya 1000 Umeme mita 100 maji yapo hapo site kuunganisha tu nyumba moja kisima cha maji lita 45 mawasiliano piga 0715352497/0755352497

Dar E. S. R. E.

Member since 2019.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam