05.07.2023Dar es Salaam

Shamba linauzwa Bagamoyo

TZS 8 000 000

Description

*Shamba Heka 4 na nusu zinauzwa Kilomo-Shule, Umeme na Maji Vipo,Shamba Limeendelezwa Kuna Miembe,Minazi,Mikorosho, Umbali toka Barabara ya Lami Bagamoyo Road ni Kilometa 2 tu, Bei kwa heka moja ni milioni 8 Fixed Price, Shamba Limezungukwa na Makazi ya watu ya kisasa kabisa,panafaa kwa Uwekezaji wowote, .Anza Mwaka Mpya wa Fedha kwa Kumiliki Ardhi Bagamoyo Road.. 0712787939

Nadish

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam