Details
Description
Eneo / shamba la ukubwa wa ekari 12 huko Donyo Muruak Wilaya ya Siha Kata ya Sanya Juu Kilomita 4 toka Kijiji cha Lawate au Kilomita 10 toka Mji wa Bomang'ombe barabara kuu ya Arusha -Moshi, Panafaa kwa ujenzi wa Taasisi, Shule, Kilimo cha Maharage, Parachichi, Mahindi nk pia panaweza kuwekwa kiwanda na kutengenezea Kokoto na mawe ya ujenzi