23.03.2022Tanzania, Kilimanjaro

SHAMBA linauzwa 66,000,000 lipo Donyo Muruak Kilimanjaro

TZS 5 500 000

Details

Price per square unit
yes

Description

Eneo / shamba la ukubwa wa ekari 12 huko Donyo Muruak Wilaya ya Siha Kata ya Sanya Juu Kilomita 4 toka Kijiji cha Lawate au Kilomita 10 toka Mji wa Bomang'ombe barabara kuu ya Arusha -Moshi, Panafaa kwa ujenzi wa Taasisi, Shule, Kilimo cha Maharage, Parachichi, Mahindi nk pia panaweza kuwekwa kiwanda na kutengenezea Kokoto na mawe ya ujenzi

Othiniel T.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Kilimanjaro