09.12.2021Tanzania

SHAMBA linaunzwa MKuranga

TZS 50 000 000

Description

Shamba lina ukubwa wa heka 12 . Lipo baada ya kituo cha kisemvule unaingia kushoto 15 km. Kijiji cha sunguvuni. Lina nyumba ndogo yenye vyumba viwili Choo cha nje. Kuna mazao kama mananasi,mihogo,mapapai na minazi. Liko karibu na mto mkubwa ambao haukauki maji.

Robert

Member since 2016.
xxx xxx xxx xxx

User

Location