Details
Description
shamba lenye parachichi linauzwa, lipo Kijiji Cha iyembela kata ya matembwe ktk halmashauri ya wilaya ya njombe mkoani njombe lina ukubwa wa eka 10, parachichi zina umri wa miaka 2 na nusu na zimetoa maua tayari shamba lipo karibu na barabara na inapitika muda wote Bei ni tsh 25 milion kwa eka zote kumi maji ya mto yapo karibu sana kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929