24.08.2023Pwani

Shamba la eka 200 linauzwa

TZS 30 000 000

Description

shamba la eka 200 linauzwa shamba hili lipo hapa Kijiji Cha miyono halimashali ya chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa wapwani shamba hili linauzwa lote milioni 30 shamba hili lipo kilometa 30 kutoka Barabara yalami hapa mandera ni kila eka moja inauzwa laki 150000 nishamba zuli sana kwakilimo chochote nitambalale lote kwamawasiliano zaidi piga simu 0656878067

Mashaka

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani