14.04.2025Dar es Salaam

Shamba Kwa Malipo Ya Nafuu

TZS 100 000

Details

Terms
Monthly in advance

Description

Tupo Kwa Ajili Yako Tunakusaidia Kutimiza Ndoto Zako Za Kumiliki Ardhii Kwa Malipo Nafuu Ya Kidogo kidogo Kwa Muda wa Miezi 15 🔸Bei Kwa Ekari moja ya shamba 1,500,000 🔸lipia kwa Miezi 15 , laki moja kila mwezi Kianzio pia ni laki moja 🔸 Mashamba yetu yamepimwa Tunatoa na hati miliki 🔸 Mashamba yapo umbali wa km 8 kutoka barabara kuu ya Msata Road Yapo Bagamoyo Kiwangwa ✅ utaratibu wa Kutembelea Mashamba ni siku ya jumamosi safari zinaanzia kivulini mlimani city muda saa 2 na nusu Asubuhi

Emmanuel

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam