Details
Description
Tupo Kwa Ajili Yako Tunakusaidia Kutimiza Ndoto Zako Za Kumiliki Ardhii Kwa Malipo Nafuu Ya Kidogo kidogo Kwa Muda wa Miezi 15 šøBei Kwa Ekari moja ya shamba 1,500,000 šølipia kwa Miezi 15 , laki moja kila mwezi Kianzio pia ni laki moja šø Mashamba yetu yamepimwa Tunatoa na hati miliki šø Mashamba yapo umbali wa km 8 kutoka barabara kuu ya Msata Road Yapo Bagamoyo Kiwangwa ā utaratibu wa Kutembelea Mashamba ni siku ya jumamosi safari zinaanzia kivulini mlimani city muda saa 2 na nusu Asubuhi