Details
Description
Shamba linauzwa Kijiji cha Kilimahewa wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Eneo lina ukubwa wa ekari 97.2 Eneo lingine lina miembe, minazi mikorosho vyote vya kisasa e Eneo linafaa kwa uwekezaji wa aina yoyote Umbali ni km 1.8 kutoka barabara ya Lami HATI IPO ENEO LINAMFAA MWEKEZAJI BEI NI 2.5B maongezi yapo