28.06.2021Tanzania, Dodoma

Shamba Ekari Saba na nusu(7.5) linauzwa.

TZS 5 700 000

Details

Price per square unit
no

Description

Shamba liko Dodoma Tanzania. Lina ukubwa wa Ekari7.5 Shamba liko ndani ya kata ya Mbabala, Dodoma Mjini. Shamba liko umbali wa KM 30 kutoka Dodoma City center na KM 3 Magharibi Mwa Dodoma city Ring Road. Nyaraka za Umiliki Ni za Kimila Barabara zinazoelekea Shambani zinapitika na Ni za vumbi kwa KM 4.5. Umeme upo kwa KM 4.5 kutoka Barabarani ya Kata, Maji yanapatikana kwa Visima na kwa Mabomba ya Kijiji. Shamba linafaa kwa matumizi ya; Ufugaji aina zote, pamoja na ukulima wa Zabibu, alizeti, Mahindi, Nyanya, nyanya chungu, Hoho, Biringanya, karanga, Njugu, Mtama, Uwele. Pia kwa ajili ya ukulima wa Viazi vitamu na matunda. Bei ya shamba hili ni shilingi Milioni tano na laki saba (5,700,000)

Mathias Athanas

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dodoma