09.02.2021Tanzania, Dar Es Salaam

MASHAMBA

TZS 800 000

Details

Price per square unit
no

Description

MASHAMBA yanauzwa, yapo kisarawe masaki,mita Mia tatu kutoka barabarani Bei ni shilingi laki nane tu,mashamba yanafaa kwa kilimo Cha Aina zote Kama mananasi, ndizi, mihogo, miembe,maharage, n.k na ufugaji Unaweza kulipa cash ama KIDOGOKODOGO, Anza na laki tano kisha ILIYOBAKI UTAILIPA NDANI ya miezi miwili au minne(mpaka SITA)karibuni Sawa kuja kuangalia MASHAMBA haya ni BUREE kabisaa.

Michael S.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam