04.08.2021Pwani

MASHAMBA YA KILIMO NA UFUGAJI

TZS 500 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
no

Description

Nauza mashamba yanafaa kwa kilimo ufugaji mashamba yapo kisarawe-masaki mita Mia tatu kutoka barabara kuu mashamba yanafaa kwa kilimo Cha mihogo,mahindi,miembe,mananasi n.k MASHAMBA pia yanafaa kwa ufugaji na upatikanaji wa maji Ni rahisi kwani katikati ya shamba Kuna mkondo wa maji, Bei ni shilingi laki tano tu kwa ekari, kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba zifuatazo 0621868687 au 0656488722

Michael S.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani