Details
Description
Mashamba Bagamoyo MKENGE đ¸ Mashamba Yapo Umbali Wa Km 7 Kutoka Barabara ya lami Msata road đ¸ukubwa wa mashamba ni Ekari Moja đ¸ Bei kw Ekari moja 1,500,000 đ¸lipia kidogo kidogo kwa miezi 15 , Laki moja kila mwezi đ¸ Mashamba yamepimwa, Tunatoa Na Hati Miliki đ¸ Huduma za kijamii zipo jirani na mashamba đ¸udongo una Rutuba ni kichanga na mweusi đ¸pia uoto upo wa kutosha kwa Kufanyia ufugaji â Ofisi zetu zipo kivulini mlimani city , Siku ya Kutembelea Mashamba ni jumamosi. Tuwasiliane