Details
Description
Miliki Shamba La Ekari Moja (70 kwa 70) Bagamoyo Kiwangwa Kwa Kulipia Kidogo kidogo Kwa Miezi 15 đ¸ Mashamba Yapo km 8 Kutoka Barabara Kuu Ya Lami Msata road đ¸ Mashamba Unaweza Tumia Kwa Kulima , Kufuga Na Makazi đ¸Eneo ni Tambarare Alina Mabonde đ¸Tumeshapima mashamba , Tunatoa Na Hati miliki đ¸Ekari moja bei ni 1,500,000 Lipia laki moja kila mwezi kwa miezi 15 â ofisi zetu zipo kivulini mlimani city ,siku ya Kutembelea Mashamba ni jumamosi safari Zitaanza Saa 2 na 30 Asubui. Nauli elf 10 Tu